Latest News
Habari Kitaifa
WWF yatoa ripoti inayoonesha madhara ya shughuli za binadamu.
Na James Range, Dar es salaam. Shirika la kimataifa lisilo la [Read More]
Tishio la kumuua Mbunge, Diwani wa Nduli Iringa Mahakamani.
Na Mawazo Malembeka, Iringa. Diwani wa Kata ya Nduli Manispaa ya Iringa Idd Rashid Chonanga amepandishwa katika [Read More]
Video
Habari za Biashara na Uchumi
Tatizo la umeme, Serikali yahitaji mtaji mkubwa kuwekeza.
Na Fatma Gaffus, Dodoma. Serikali imesema kuwa inahitaji mtaji mkubwa ili ifanye [Read More]
Habari za Kimataifa
Nusu ya raia wa Sudan kusini wananjaa
Zaidi ya nusu ya raia wa Sudan Kusini wanakabiliwa na baa la njaa. Raia wa Sudan Kusini [Read More]
Hoteli yashambuliwa na magaidi Mombasa
Hoteli moja maarufu visiwani Mombasa imeshambuliwa kwa maguruneti na kusababisha kifo cha [Read More]
Vikosi vya EU vyashambulia maharamia.
Vikosi vya wanamaji wa EU, vimefanya shambulio lao la kwanza dhidi ya maharamia wa [Read More]
Habari za Michezo na Burudani
Chelsea yatinga fainali klabu bingwa Ulaya.
Klabu ya soka ya Chelsea ya Uingereza imefuzu kuingia fainali ya klabu bingwa barani Ulaya, licha ya nahodha John Terry kuonyeshwa kadi nyekundu. Mchezo wa Jumanne ulikwisha kwa sare ya 2-2, lakini Chelsea ikapata ushindi ikiwa na jumla ya magoli 3-2. Timu ya The Blues [Read More]
Robin van Persie mchezaji bora wa mwaka.
Robin van Persie amechaguliwa mchezaji bora wa mwaka katika tuzo inayotolewa na Chama cha Wacheza Kandanda ya Kulipwa- [Read More]
Marriner kuchezesha pambano Manchester.
Andre Marriner ametajwa atakuwa mwamuzi wa pambano la kukata na shoka kati ya Manchester City na Manchester United tarehe [Read More]
Fabrice Muamba aondoka Hospitalini.
Mwanasoka wa Uingereza ,Fabrice Muamba, ambaye nusura afe baada ya moyo wake kusimama ameruhusiwa kwenda nyumbani. Muamba [Read More]
