Copyright @ STAR TV LTD . All Rights Reserved.
Ajali nyingine yatokea Morogoro, basi lagongwa na kuua 12.
Watu 12 wamefariki dunia baada ya basi la Al- Hushoom kugongwa na lori katika ajali iliyohusisha magari matatu iliyotokea leo katika Kijiji cha Berega Wilaya ya Kilosa mkoani Morogoro.
Ajali hiyo imetokea siku mbili tu tangu ajali nyingine ya basi itokee mkoani hapa, na kuua watu wanane. Ajali hiyo ilihusisha basi la Super Zoo Royal Class ambalo lilikuwa likitokea Kahama mkoani Shinyanga kwenda jijini Dar es Salaam, na kuua watu saba papo hapo.
.
.
.
.
Sahara Communication and Publishing Co. Ltd
P.O BOX 1732
MWANZA
TEL: +255282503262
FAX: +255282500713
Kwa maoni na Ushauri:: maoni@startvtz.com
Basi la Al Hushoom likiwa limeharibika vibaya baada ya kugongwa na Scania eneo la Mtumbatu, Gairo,Wilayani Kilosa, Morogoro jana na kusababisha vifo vya watu 12 na wengine 32 kujeruhiwa.
Tanga, Kigoma kama Manyara Taifa Cup.
TIMU ya soka ya Mkoa wa Tanga, jana iliungana na Manyara kufungasha virago katika kinyang’anyiro cha mashindano ya Safari Taifa Cup, baada ya kuchapwa bao 1-0 na Kagera ‘Lweru Eagles’.
Na Mwandishi wa Maalm, Morogoro.