RFA I               KissFM I 
VOA I              Dullonet.Com


Related Links
Fagilia au Siliba katika kuboresha
Copyright  @  STAR TV LTD . All Rights Reserved.
Home     I    About Us     I     Contact Us    I      Startv Crew    I     Schedule     I     Coverage     I     Login
Startv Progammes
Startv Tanzania-Brightens Your Day
Startv Menu
Leo::
TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoani Pwani imewakamata na kuwahoji wapiga kura 13 na wagombea 3 wa nafasi za ubunge, viti maalumu kupitia Umoja wa Wanawake wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kwa tuhuma za rushwa.  ... Zaidi
Na Julieth Ngarabali, Pwani.
.  
TAKUKURU yanasa wengine mkoa wa Pwani.
Rais Jakaya Kikwete Akiwa na Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Dr. Asha Rozi Migiro mara tu Baada ya kuwasili Ikulu Jijini Dar es salaam na Kufanya naye Mazungumzo





Rais Mahmoud Abbas atishia kutoendelea na mazungumzo ya ana kwa ana na Israel.

 




Wakati Mawaziri wa mambo ya nchi za kigeni wa Jumuiya ya Kiarabu wanakutana leo mjini Cairo Misri,Rais wa mamlaka ya ndani ya Wapalestina Mahmoud Abbas amewasili jijini humo kuhudhuria mkutano wa kamati ya Jumuiya hiyo,ambayo inashughulikia mazungumzo baina ya Palestina na Israel,huku suala la kupatikana kwa amani hiyo likiwa bado ni kitendawili.  ... Zaidi


Rais wa Marekani Barack Obama alipokutana na Rais wa mamlaka ya ndani ya wapalestina,Mahmoud Abbas Ikulu ya Marekani.
Habari za Kimataifa.
Cairo, Misri.



Bongo Beats every Monday to Saturday @ 1900hrs
Bonga na Startv every  Monday to Saturday @ 1705hrs
Habari every  Monday to Sunday @ 2000hrs
Home                                            About Us                                                    Contact Us                                                Startv Crew                                           Login

Chilolo na Mlata wafanya kweli Singida ni kupitia  UWT.
Na Emmanuel Michael, Singida.                        .

  
MKUTANO  mkuu wa uchaguzi wa Jumuiya ya wanawake (UWT) mkoa wa Singida, umewachagua  tena wabunge   wa viti maalum waliomaliza muda  wao mhe  Diana Chilolo na Martha  Mlata  kushika  wadhifa huo kwa kipindi kingine cha miaka mitano ijayo.. ..... Zaidi


online counter
Kipindi cha kuelekea Uchaguzi 2010, tutumie maoni yako uchaguzi2010@startvtz.com
Habari za Michezo.
TBL yawawezasha Taswa kushiriki Bonanza Arusha.
Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) imetoa sh. 4, 875,000 kwa timu ya soka ya Waandishi wa Habari za Michezo Nchini (TASWA FC) kwa ajili ya kushiriki katika bonanza la waandishi wa habari wa Mkoa wa Arusha.
     . ... Zaidi
Na Mwandishi Maalum, Dar Es Salaam
      





Meneja Uhusiano wa TBL,Edith Mushi (kushoto) akikabidhi mfano wa hundi yenye thamani ya shilingi milion 4.8 kwa Mwenyekiti wa TASWA FC,Majuto Omary kwa ajili ya mashindao ya Bonanza huko mkoani Arusha.