Alert:
Habari Kitaifa
Mgomo wa madaktari, Morogoro nao wakumbwa wakati mgumu.
Na Kasilda Mlimila, Morogoro Wakati huo huo, mgomo wa madaktari ulioanza Januari 24 mwaka huu katika hospitali ya taifa [Read More]
Usafiri reli ya kati waanzia Dodoma.
Na Fatma Gaffus, Dodoma. Usafiri wa Reli ya Kati umeanza wakati ujenzi katika Daraja la Godegode wilayani Mpwapwa [Read More]
CUF yapoteza wanachama 1,122 Ilemela.
Na Mwandishi wetu, Mwanza Wanachama 1,122 wa Chama cha Wananchi CUF wilayani Ilemela mkoani Mwanza wamejivua [Read More]
Video
Habari za Biashara na Uchumi
Pinda: Serikali ipo katika mikakati ya uboreshaji kilimo.
Na Joseph Mpangala, Dar es Salaam. [Read More]
Habari za Kimataifa
Sudan: Marais wakutana Addis Ababa.
Marais wa Sudan Kusini na Sudan wanakutana mjini Addis Ababa, Ethiopia katika juhudi za [Read More]
Afrika yashikilia uzi wake Davos
Mji wa Davos, Uswizi, wakati huu wa kipupwe Ulaya, huwa baraza la domo kaya. ‘Wakuu’ [Read More]
Naibu Jaji Mkuu Kenya asimamishwa kazi.
Rais Mwai Kibaki amemsimamisha kazi Naibu Jaji Mkuu Nancy Baraza na kuunda jopo ambalo [Read More]
Habari za Michezo na Burudani
Ukiukwaji wa sheria, bondia Nyalawila avuliwa ubingwa wa Dunia.
Na Ahmed Ally, Dar es Salaam. Shirikisho la Kimataifa la Ngumi za Kulipwa WBF limemvua rasmi Ubingwa wa Dunia Bondia wa Tanzania Kalama Nyilawila baada ya kukiuka sheria zinazosimamia Ubingwa wa shirikishohilo. Nyilawila amekiuka sheria hizo baada ya kukubali kucheza [Read More]
Ligi Kuu Bara, Simba na Azam zafanya kweli.
Na Jacob Marcus Mabao yaliyofungwa na wachezaji Haruna Moshi na Gervas Kago katika mpambano dhidi ya Coastal Union [Read More]
EAF yatengua adhabu ya Kenenisa Bekele.
Shirikisho la riadha la Ethiopia EAF limetengua adhabu ya kusimamishwa mwanariadha mahiri wa mbio za mita elfu 5 na elfu [Read More]
Tevez aingia hasara ya paundi milioni 9
Mzozo baina ya Carlos Tevez na Manchester City umemgharimu mshambuliaji huyo wa Argentina paundi milioni 9.3 za mshahara [Read More]
