StarTV Related Links
 
Startv Tanzania-Home page
 
Copyright  @  STAR TV LTD . All Rights Reserved.
 
Programme Line Up
 
Startv Maoni
Kuendelea kuibuka kwa vitendo vinavyoambatana na imani za kishirikina, ni dalili ya nini?

Ugumu wa maisha
Kutomwamini Mungu
Ni mambo ya kawaida tu
Sijui lolote


View Results
 
Ajali nyingine yatokea Morogoro, basi lagongwa na kuua 12.

Watu 12 wamefariki dunia baada ya basi la Al- Hushoom kugongwa na lori katika ajali iliyohusisha magari matatu iliyotokea leo katika Kijiji cha Berega Wilaya ya Kilosa mkoani Morogoro.

Ajali hiyo imetokea siku mbili tu tangu ajali nyingine ya basi itokee mkoani hapa, na kuua watu wanane. Ajali hiyo ilihusisha basi la Super Zoo Royal Class ambalo lilikuwa likitokea Kahama mkoani Shinyanga kwenda jijini Dar es Salaam, na kuua watu saba papo hapo.









.
.




















.


.


Sahara Communication and Publishing Co. Ltd
P.O BOX 1732
MWANZA
TEL: +255282503262
FAX: +255282500713

 
Kwa maoni na Ushauri::  maoni@startvtz.com
International News
Related Links
Other Menu
Basi la Al Hushoom likiwa limeharibika vibaya baada ya kugongwa na Scania eneo la Mtumbatu, Gairo,Wilayani Kilosa, Morogoro jana na kusababisha vifo vya watu 12 na wengine 32 kujeruhiwa.




Tanga, Kigoma kama Manyara Taifa Cup.

TIMU ya soka ya Mkoa wa Tanga, jana iliungana na Manyara kufungasha virago katika kinyang’anyiro cha mashindano ya Safari Taifa Cup, baada ya kuchapwa bao 1-0 na Kagera ‘Lweru Eagles’.



Na Mwandishi wa Maalm, Morogoro.
 
Arusha         16 °C

Dar              26 °C

Dodoma      23 °C

Mwanza      22 °C
Latest News From TPF
Asha leaves the Academy


In an unexpected twist, one of Tanzania’s representatives in the 2008 Tusker Project Fame Academy Asha Ramadhani has withdrawn from the academy .....more