I
I
I
I
Startv Tanzania-Habari
Home     I    About Us     I     Contact Us    I      Startv Crew    I     Schedule     I     Coverage     I     Login
Copyright  @  STAR TV LTD . All Rights Reserved.
Hayo yamebainishwa mjini Singida na  mkurugenzi wa bima  ya afya kanda ya kati bw  Christopher Mapunda kwenye warsha juu ya utaratibu na uwanachama wa mfuko huo wa bima ya afya.

Amesema baada ya  kufanyiwa marekebisho  kwa sheria  iliyounda mfuko huo mwaka  huu,  askari  polisi, magereza,  zimamoto na uhamiaji wanatarajiwa kuanza kuhudumiwa  na bima hiyo kuanzia Julai mwaka huu.

Bw Mapunda amesema lengo ni kuunganisha nguvu baina ya watumishi na waajiri wao kwa kuchangia asilimia  tatu  ya mshahara   kila  mmoja kwa ajili ya kugharamiwa  matibabu.
Baadhi ya washiriki wa warsha  hiyo wamesema kuwa  kuingizwa kwenye  mpnago huo  kutakuwa mkombozi kwao  kutokana na  kupanda  kwa gharama za matibabu  zilizokuwa zinawasumbua.

Mfuko wa taifa wa bima ya afya (NHIF)  ulianzishwa  mwaka 1999 kwa sheria  namba 8  ukiwa na jukumu  la kugharamia  matibabu  ya watumishi wa umma, wenzi wao na wategemezi wanne.




Bongo Beats every Monday to Saturday @ 1900hrs
Bonga na Startv every  Monday to Saturday @ 1705hrs
Habari every  Monday to Sunday @ 2000hrs
Home                                            About Us                                                    Contact Us                                                Startv Crew                                           Login
Leo::
Startv Menu