‘Habari za Biashara na Uchumi’ Archives
Zaidi ya magari 200 yakwama mpakani Holili
Na Enos Masanja, Moshi. Zaidi ya magari 200 yanayosafirisha mzigo kupitia mpaka wa Holili juzi yamekwama kwa zaidi ya masaa tisa baada ya mpaka waTanzanianaKenyakufungwa kwa muda. Kufungwa kwa mpaka huo na wananchi kulikoshuhudiwa na mamlaka za kisheria baina ya [Read More]
Zana za uchimbaji, Wachimbaji Wadogo kunufaika kanda ya kati.
Na Emmanuel Michael, Singida. Wachimbaji wadogo wa madini ya aina mbalimbali kanda ya kati wanatarajiwa kuondokana na matumizi ya zana duni katika migodi yao baada ya kufunguliwa kwa kituo cha kukodisha, kukopesha na kuuza vifaa vya kisasa kwa ajili ya kufanyia [Read More]
Umeme wa jua, Wakazi Kiagata Musoma kuanza kunufaika.
Na Mabere Makubi, Musoma. Wakazi wa vijiji 14 vya Tarafa ya Kiagata Wilaya ya Musoma vijijini mkoani Mara wanategemea kuanza kunufaika na mradi wa umeme jua vijijini ambao utawasaidia kujikwamua na matumizi ya mafuta ya taa. Mradi huo unaojulikana [Read More]
Uwepo mgao wa umeme, Waziri wa Nishati na Madini akanusha.
Na Ivona Kamuntu, Mwanza. Waziri wa Nishati na Madini Mheshimiwa William Ngeleja amekanusha kuwa hakuna mgao wa umeme sehemu yoyote ile hapa nchini. Kauli hiyo imetolewa kutokana na kukosekana kwa umeme katika baadhi ya maeneo hapa nchini hali inayotafsiriwa na wengi kuwa [Read More]
Sekta ya Utalii Mwanza, Miundombinu na uwanja wa ndege vikwazo
Na Rogers William,Mwanza. Tatizo la miundombinu na ukosefu wa uwanja wa ndege wa kisasa katika jiji la Mwanza linachangia kusuasua kwa ukuaji wa sekta ya utalii jiji hapa na mikoa ya jirani. Wakati changamoto hiyo ikiendelea kuathiri sekta ya utalii, ukosefu wa Maafisa [Read More]
Kilimo Kwanza, Tanzania bado inazalisha kidogo.
Na Joseph Mpangala, Dar es Salaam. Serikali imekiri kuwa badoTanzania inazalisha kiasi kidogo cha mazao ya biashara hali inayosababisha kushindwa kufikia malengo ya kiuchumi yanayotakiwa. Kauli hiyo imetolewa na Waziri [Read More]
Kukuza mitaji, TBL yatoa 200 kwa wajasilimali.
Na Neema Ndetto, Dar es Salaam. Kampuni ya Bia Tanzania TBL imetoa shilingi milioni 200 kwa Wajasiriamali wadogo na wakati ili kukuza mitajiyaoikiwa ni hatua ya kuinua maendeleo ya sekta hiyo nchini. TBL imetoa pesa hizo kwa [Read More]
Mtikisiko wa uchumi, Benki ya dunia yakanusha kwa Afrika.
Na Stumai George, Dar es Salaam. Nchi za Afrika zimeonywa kuwa hazipaswi kubweteka na dhana ya kupanda kwa uchumi katika kipindi ambacho Mataifa ya Magharibi yameyumba kutokana na mtikisiko [Read More]
Madai ya wanafunzi IMTU, hatma kujulikana February 17.
Na Joyce Mwakalinga, Dar es Salaam. WANAFUNZI wa Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Sayansi na Tiba, IMTU cha jijiniDar es Salaamwanatarajia kufahamu hatma ya madaiyaoFebruari 17 kutoka Wizara ya Elimu na [Read More]
Matumizi fedha za serikali, Waziri awataka Watumishi kuwa waaminifu.
Na Oliver Motto, Iringa. Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa TAMISEMI Mheshimiwa Aggrey Mwanry amewataka watumishi wote nchini kuwa waaminifu katika matumizi ya fedha za serikali. Pia aliwaagiza Madiwani kuwataja watumishi [Read More]
