‘Habari za Biashara na Uchumi’ Archives
Vikwazo vya biashara, Tanzania na Mauritius kuandaa rasimu ya makubaliano.
Na Enos Masanja, Dar es Salaam. SERIKALI za Tanzania na Mauritius zimeanza mchakato wa kuandaa rasimu ya makubaliano ya Kisheria yatayoondoa vikwazo kwa wadau wa sekta binafsi kwenye nchi hizo katika uendeshaji wa shughuli za kiuchumi. [Read More]
Kupanda umeme, MWAUWASA yapandisha akra za maji.
Na Abdalla Tilata Kufuatia Shirika la umeme nchini Tanesco kupandisha umeme kwa asilimia 40 nukta mbili tisa,Mamlaka ya maji safi na maji taka Jijini Mwanza Mwauwasa imeamua kupandisha ankra za maji kwa lengo la kumudu ongezeko la bei ya umeme. Kupandishwa kwa akra za maji [Read More]
TBL yatoa Sh. Mil. 51.6 kusaidia Miradi Morogoro.
Na Nickson Mkilanya, Morogoro. Kampuni ya Bia Tanzania TBL imetoa msaada wa shilingi milioni 51.6 kusaidia miradi ya maji katika hospitali ya Mkoa wa Morogoro na shule 12 za sekondari za kata za Manispaa ya Morogoro. Akizungumza katika hafla ya kukabidhi misaada hiyo kwa [Read More]
Zahanati Kijiji cha Ilindi Bahi kupata umeme wa upepo.
Na Fatma Gaffus, Dodoma. Zahanati ya Kijiji cha Ilindi wilayani Bahi itaondokana na tatizo la umeme baada ya kufungiwa mtambo wa Umeme wa Upepo. Mtambo huo ambao umegharimu Dola za kimarekani 4,000 sawa na shilingi za Kitanzania milioni 600 ni msaada uliotekelezwa na [Read More]
Makokolo yateketezwa kwa moto Kilombero.
Na Kasilida Mgeni, Morogoro. Jumla ya dhana haramu 610 yakiwemo Makokolo 54 na Myavu mbalimbali 556 zenye thamani ya shilingi milioni 25.7 zilizokuwa zikitumika katika uvuvi haramu kwenye mto Kilombero zimekamatwa na kuteketezwa kwa moto ikiwa ni hatua ya kudhibiti uvuvi [Read More]
Udanganyifu katika ngozi, Wizara ya Mifugo yatoa tahadhari.
Na Nickson Mkilanya, Morogoro. Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi imetishia kupiga marufuku uuzwaji wa ngozi nje ya nchi endapo itabaini kuendelea kufanyika kwa udanganyifu ukiwemo wa kukwepa ulipaji kodi wakati wa kusafirisha bidhaa hizo kwenda nje ya nchi kupitia [Read More]
Nyavu haramu 1,463 zakamatwa Musoma
Na Dick Mohamed, Mara. Kikosi cha Doria na Udhibiti Uvuvi haramu katika Ziwa Viktoria mkoani MARA kimekamata nyavu haramu 1,463 kwenye ghala la Mfanyabiashara mmoja wa mjini Musoma zilizokuwa zikitayarishwa kuingizwa sokoni ili kuuzwa kwa wavuvi. Afisa Mfawidhi, [Read More]
Mikopo isiyokuwa na riba, Wanawake 120 Simanjiro wanufaika.
Na Enos Masanja, Mererani. Wanawake 120 wa Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara ambao wameanzisha miradi ya ujasiriamali wameeleza kupata mafanikio makubwa baada ya kupatiwa mikopo isiyo na riba kutoka kampuni ya simu za mkoani Vodacom. Wanawake hao walioanzisha shughuli za [Read More]
Wadau wa Kilimo Afrika Mashariki wajadili kuliboresha zao viazi vya njano.
Na Ivona Kamuntu, Mwanza. Wadau wa kilimo kutoka nchi za Afrika Mashariki wamekutana kujadili juu ya njia bora wanazoweza kutumia kuinua kilimo cha zao la viazi lengo likiwa ni kuwawezesha wakulima kujiingizia kipato kupitia zaohilo. Zao la viazi limeshamiri kwa kiasi [Read More]
Kukuza uchumi, Mkoa wa Shinyanga watakiwa kuanzisha viwanda.
Na Shaban Alley, Shinyanga. Waziri Mkuu mheshimiwa Mizengo Pinda ameuagiza uongozi wa mkoa wa Mkoani Shinyanga kuanzisha viwanda katika kipindi cha miaka minne iliyobaki katika kipindi cha uongozi wa awamu ya nne kwa lengo la kukuza uchumi katika mkoa huu. Mheshimiwa [Read More]
