Wednesday February 22nd 2012

‘Habari Kitaifa’ Archives

Mgogoro CUF, Wananchi waendelea kujivua uanachama

Mgogoro CUF, Wananchi waendelea kujivua uanachama

Na Beatrice Ojjiki, Dar es Salaam.                               Chama cha wananchi CUF kimeendelea kupoteza wanachama wake baada ya baadhi ya viongozi wa baraza kuu la taifa kutangaza kujivua uanachama wa chama hicho.   Viongozi hao ni [Read More]

Wananchi walalamikia viongozi Gairo.

Wananchi walalamikia viongozi Gairo.

Na Kasilda Mlimila, Morogoro. Wananchi wa Gairo wilayani Kilosa, mkoa wa Morogoro wanakabiliwa na kero mbalimbali zikiwemo viongozi wao kutowasomea taarifa za mapato na matumizi, kutoshirikishwa katika uibuaji wa miradi ya maendeleo, migogoro ya ardhi na kuchangishwa [Read More]

Ajali ya moto, Kiwanda cha samani za ndani chateketea Dar.

Ajali ya moto, Kiwanda cha samani za ndani chateketea Dar.

Na Faraji Mwagowa, Dar Es Salaam. MOTO mkubwa umezuka na kuteketeza kiwanda cha samani za ndani na baadhi ya maduka pamoja na kuharibu vibaya nyumba kadhaa zinazozunguka eneohilokwenye mtaa wa Manyanya, wilaya ya kinondoni Jijini Dar ES Salaam.   Kwa mujibu wa [Read More]

Chakula cha ziada, Hatua za dharura za muda mrefu zahitajika

Chakula cha ziada, Hatua za dharura za muda mrefu zahitajika

Na Joseph Mpangala,                                     Dar es Salaam. Mkutano wa Mawaziri wa Kilimo kutoka nchi saba za Afrika umemalizika jijini Dar es Salaam ambapo masuala mbalimbali ya kuhakikisha wanapiga hatua katika kuongeza [Read More]

Maeneo ya kimila ya kimasai, Ukuaji mji wa Monduli hatarini kuyapoteza.

Maeneo ya kimila ya kimasai, Ukuaji mji wa Monduli hatarini kuyapoteza.

Na Ramadhan Mvungi, Arusha.  Kasi ya kupanuka kwa Mji wa Monduli mkoani Arusha imetishia kutoweka kwa maeneo ya kufanyia shughuli za kimila kwa wenyeji wa kabila la Kimasai. Kutokana na hali hiyo, jopo la Viongozi wa kabilahilowameanza mchakato wa kuyarejesha maeneo hayo. [Read More]

Uhaba wa ardhi, NHC Kilimanjaro yaaswa kujenga nyumba za ghorofa.

Uhaba wa ardhi, NHC Kilimanjaro yaaswa kujenga nyumba za ghorofa.

Na Enos Masanja, Kilimanjaro. Shirika la nyumba la taifa NHC mkoani Kilimanjaro limeaswa kubomoa nyumba zake za zamani na kujenga nyumba za ghorofa zitakazoendana na mji wa Moshi na siyo kuendelea kukarabati nyumba hizokamamoja ya mkakati wa kukabiliana na uhaba wa ardhi [Read More]

Umeme maporomoko ya rusumo sasa Tanzania, Rwanda, Burundi zasaini makubaliano.

Umeme maporomoko ya rusumo sasa  Tanzania, Rwanda, Burundi zasaini makubaliano.

Na Ivona Kamuntu,  Mwanza.  Mawaziri wa nchi za Tanzania,RwandanaBurundiwametiliana saini ya makubaliano ya utekelezwaji wa mradi wa uzalishaji wa umeme kwenye maporomoko ya maji ya Rusumo. Mradi huo ambao unatarajiwa kuanza mwakani utazalisha kati ya megawati 60 na 90 [Read More]

Tuhuma za ufisadi, Wanawake watajwa kuwa hawajawahi kuhusika.

Tuhuma za ufisadi, Wanawake watajwa kuwa hawajawahi kuhusika.

Na Wilson Elisha, Mwanza.  Wanawake nchini wametajwa kuwa hawajawahi kuhusika katika tuhuma za ufisadi hali inayoonyesha kuwa ni viongozi waadilifu wanaomcha Mungu na wenye uwezo mkubwa wa kulitumikia taifa kwa uadilifu na uaminifu. Askofu wa Jimbo la Musoma mkoani Mara [Read More]

Ubunge, Udiwani na Viti Maalum sasa kuwa na ukomo wa vipindi viwili.

Ubunge, Udiwani na Viti Maalum sasa kuwa na ukomo wa vipindi viwili.

Na Fatma Gaffus, Dodoma. Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi CCM Taifa NEC imeelekeza nafasi za Ubunge, Udiwani na uwakilishi wa Viti Maalum kuwa na ukomo wa vipindi viwili baada ya hapo waende wakagombee majimboni. Akizungumza katika kikao cha Baraza Kuu la Jumuiya ya [Read More]

Baraza la ushauri la wazee, CCM yalenga kuwapunguzia majukumu viongozi.

Baraza la ushauri la wazee, CCM yalenga kuwapunguzia majukumu viongozi.

Na Immaculate Kilulya, Dar es Salaam.  CHAMA Cha Mapinduzi CCM kimesema hatua yake ya kuunda Baraza la Ushauri la Wazee haina lengo la kuwatenga viongozi wake Wastaafu kama inavyopotoshwa bali ina lengo la kuwapunguzia majukumu makubwa ya shughuli za kila siku za chama [Read More]

 Page 1 of 12  1  2  3  4  5 » ...  Last » 

Latest Topics

Waziri Dk. Mary Nagu akutana na ujumbe wa wawakilishi wa Uchumi na Biashara kutoka China.

Waziri Dk. Mary Nagu akutana na ujumbe wa wawakilishi wa Uchumi na Biashara kutoka China.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Uwekezaji na Uwezeshaji Dk. Mary Nagu akisalimiana na aliyekuwa Mwakilishi Mkuu wa [Read More]

WAZIRI MKUU ZIARANI MKOANI SHINYANGA

WAZIRI MKUU ZIARANI MKOANI SHINYANGA

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Mkewe Tunu (wapili kushoto) wakimshukuru Mtembi Majebele baada ya kupewa heshimi ya Kuwa [Read More]

DKT BILAL AZINDUA DAHARIA LA SHULE YA SEKONDARI YA WASICHANA YA KORONGWE BEACH-WILAYA YA NKASI

DKT BILAL AZINDUA DAHARIA LA SHULE YA SEKONDARI YA WASICHANA YA KORONGWE BEACH-WILAYA YA NKASI

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akikata utepe kuzindua rasmi jengo la [Read More]

UZINDUZI WA MAULID KISIWA CHA TUMBATU ZANZIBAR

UZINDUZI WA MAULID KISIWA CHA TUMBATU ZANZIBAR

Rais wa Zanzibar Dk, Ali Mohamed Shein akisalimiana na Masheikh na waheshimiwa mbalimbali alipohudhuria katika Kisiwa [Read More]

Gauck kuwa rais mpya wa Ujerumani

Gauck kuwa rais mpya wa Ujerumani

Viongozi wa kisiasa nchini Ujerumani wamemchaguwa mwanaharakati wa haki za binadamu Joachim Gauck kuwa mgombea wao wa [Read More]

Recent Comments

Aryanna Hallenbeck had this to say

Enjoyed every bit of your blog article.Much thanks again. Read the post

Optatus Malume had this to say

Wakati Kamati ya kudumu ya Bunge ya huduma za jamii inachunguza watendaji wa wizara ya afya isiishie hapo waende hadi Read the post

Martine Emmanuel Mbogo had this to say

Star tv mnayo nafasi kubwa sana ya kusaidia kupatikana kwa katiba nzuri itakayowaletea manufaa watanzania wote kwa Read the post

Ahmed Haji had this to say

Tuanze na Solomon Kwanza tunashukuru sana kwa pongezi zako, nasi tunakuahidi hatutobweteka na tutaendelea kutoa huduma Read the post

bryan john had this to say

Binafsi nawapongezen sana madaktari wote mlokuwa mkiendesha mgomo kwa kurejea kazin lakin nina mashaka na nyie kwann Read the post

Popular Topics