<?xml version="1.0" encoding="UTF-8"?>
<rss version="2.0"
	xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"
	xmlns:wfw="http://wellformedweb.org/CommentAPI/"
	xmlns:dc="http://purl.org/dc/elements/1.1/"
	xmlns:atom="http://www.w3.org/2005/Atom"
	xmlns:sy="http://purl.org/rss/1.0/modules/syndication/"
	xmlns:slash="http://purl.org/rss/1.0/modules/slash/"
	>

<channel>
	<title>Star Television</title>
	<atom:link href="http://www.startvtz.com/feed/" rel="self" type="application/rss+xml" />
	<link>http://www.startvtz.com</link>
	<description>Brightens Your Day.</description>
	<lastBuildDate>Wed, 22 Feb 2012 13:44:02 +0000</lastBuildDate>
	<language>en</language>
	<sy:updatePeriod>hourly</sy:updatePeriod>
	<sy:updateFrequency>1</sy:updateFrequency>
	<generator>http://wordpress.org/?v=3.3.1</generator>
		<item>
		<title>Waziri Dk. Mary Nagu akutana na ujumbe wa wawakilishi wa Uchumi na Biashara kutoka China.</title>
		<link>http://www.startvtz.com/2012/02/22/waziri-dk-mary-nagu-akutana-na-ujumbe-wa-wawakilishi-wa-uchumi-na-biashara-kutoka-china/</link>
		<comments>http://www.startvtz.com/2012/02/22/waziri-dk-mary-nagu-akutana-na-ujumbe-wa-wawakilishi-wa-uchumi-na-biashara-kutoka-china/#comments</comments>
		<pubDate>Wed, 22 Feb 2012 13:44:02 +0000</pubDate>
		<dc:creator>admin</dc:creator>
				<category><![CDATA[Habari katika Picha]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://www.startvtz.com/?p=1462</guid>
		<description><![CDATA[Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Uwekezaji na Uwezeshaji Dk. Mary Nagu akisalimiana na aliyekuwa Mwakilishi Mkuu wa Uchumi na Biashara wa watu wa Jamhuri ya China nchini Tanzania Zhao Zhongqiu leo ofisini kwake jijini Dar es Salaam . Zhongqiu alimtembelea waziri huyo kwa ajili ya kumuaga baada ya kumaliza muda wake wa kufanya [...]]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<!-- AdSense Now! Lite V3.04 -->
<!-- Post[count: 3] -->
<div class="adsense adsense-leadin" style="float:right;margin: 12px;"><script type="text/javascript"><!--
google_ad_client = "ca-pub-4040077694320740";
/* 468x60, created 12/29/08 */
google_ad_slot = "9522569321";
google_ad_width = 468;
google_ad_height = 60;
//-->
</script>
<script type="text/javascript"
src="http://pagead2.googlesyndication.com/pagead/show_ads.js">
</script></div><div>
<div><img id="BLOGGER_PHOTO_ID_5711943060108759346" src="http://4.bp.blogspot.com/-n1_i2ydA9zw/T0Tl8zMKUTI/AAAAAAAA-7g/Tz4b73PQKkY/s400/Picha%2Bno.%2B2.jpg" alt="" border="0" />Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Uwekezaji na Uwezeshaji Dk. Mary Nagu akisalimiana na aliyekuwa Mwakilishi Mkuu wa Uchumi na Biashara wa watu wa Jamhuri ya China nchini Tanzania Zhao Zhongqiu leo ofisini kwake jijini Dar es Salaam . Zhongqiu alimtembelea waziri huyo kwa ajili ya kumuaga baada ya kumaliza muda wake wa kufanya kazi hapa nchini.</div>
<div><img id="BLOGGER_PHOTO_ID_5711943048031381458" src="http://3.bp.blogspot.com/-P2JBxehDP-s/T0Tl8GMsJ9I/AAAAAAAA-7U/GAYBWs_C5Dw/s400/Picha%2Bno.%2B3.jpg" alt="" border="0" />Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Uwekezaji na Uwezeshaji Dk. Mary Nagu akisalimiana na Mwakilishi Mkuu mpya wa Uchumi na Biashara wa watu wa Jamhuri ya China nchini Tanzania Lin Zhiyong leo ofisini kwake jijini Dar es Salaam . Zhiyong anachukua nafasi ya Zhao Zhongqiu ambaye amemaliza muda wake wa kufanya kazi hapa nchini.</div>
<div><img id="BLOGGER_PHOTO_ID_5711943003349315554" src="http://1.bp.blogspot.com/-CoHjz04yGx4/T0Tl5fvp7-I/AAAAAAAA-7I/Yk6QLNA800E/s400/Picha%2Bno.%2B4.jpg" alt="" border="0" />Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Uwekezaji na Uwezeshaji Dk.Mary Nagu akiongea na ujumbe wa wawakilishi wa Uchumi na Biashara wa watu wa Jamhuri ya China nchini Tanzania walipomtembelea leo ofisini kwake jijini Dar es Salaam . Ujumbe huo uliongelea mambo mbalimbali ikiwa ni pamoja na jinsi ya kuimarisha mahusiano ya kiuchumi na kibiashara kati ya Tanzania na China.</div>
<div><img id="BLOGGER_PHOTO_ID_5711942995711513778" src="http://1.bp.blogspot.com/-7wBeNPW7ZNY/T0Tl5DSqVLI/AAAAAAAA-68/NeQ1C-thZ-U/s400/Picha%2Bno.%2B5.jpg" alt="" border="0" />Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Uwekezaji na Uwezeshaji Dk.Mary Nagu (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na wawakilishi wa Uchumi na Biashara wa watu wa Jamhuri ya China nchini Tanzania walipomtembelea leo ofisini kwake jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Lin Zhiyong ambaye ni Mwalikishi mpya na kulia ni Zhao Zhongqiu ambaye amemaliza muda wake wa kufanya kazi hapa nchini.</div>
<p>Picha na Anna Nkinda &#8211; Maelezo</p>
<div> </div>
</div>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://www.startvtz.com/2012/02/22/waziri-dk-mary-nagu-akutana-na-ujumbe-wa-wawakilishi-wa-uchumi-na-biashara-kutoka-china/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>WAZIRI MKUU ZIARANI MKOANI SHINYANGA</title>
		<link>http://www.startvtz.com/2012/02/22/waziri-mkuu-ziarani-mkoani-shinyanga/</link>
		<comments>http://www.startvtz.com/2012/02/22/waziri-mkuu-ziarani-mkoani-shinyanga/#comments</comments>
		<pubDate>Wed, 22 Feb 2012 13:37:54 +0000</pubDate>
		<dc:creator>admin</dc:creator>
				<category><![CDATA[Habari katika Picha]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://www.startvtz.com/?p=1457</guid>
		<description><![CDATA[Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Mkewe Tunu (wapili kushoto) wakimshukuru Mtembi Majebele baada ya kupewa heshimi ya Kuwa Mtemi Masanja na mkewe kuwa Ngole katika mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye uwanja wa michezo wa Maswa Februari 20, 2012. Walikuwa kwenye ziara ya mkoa wa Shinyanga. Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Mkewe Tunu wakicheza ngoma ya [...]]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<p><img src="http://4.bp.blogspot.com/-HmGl2xnJUUA/T0SKqok67mI/AAAAAAACF-s/14HbgGl1zw4/s640/IMG_4698.JPG" alt="" width="640" height="436" border="0" /></p>
<div style="text-align: left;"><span style="font-family: Arial, Helvetica, sans-serif;">Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Mkewe Tunu (wapili kushoto) wakimshukuru Mtembi Majebele baada ya kupewa heshimi ya Kuwa Mtemi Masanja na mkewe kuwa Ngole katika mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye uwanja wa michezo wa Maswa Februari 20, 2012. Walikuwa kwenye ziara ya mkoa wa Shinyanga. </span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;" href="http://4.bp.blogspot.com/-Dg9JCEqZfSM/T0SKuT0THQI/AAAAAAACF-0/e07wB3IaBL0/s1600/IMG_4684.JPG"><strong><em><span style="font-family: Arial, Helvetica, sans-serif;"><img src="http://4.bp.blogspot.com/-Dg9JCEqZfSM/T0SKuT0THQI/AAAAAAACF-0/e07wB3IaBL0/s640/IMG_4684.JPG" alt="" width="640" height="386" border="0" /></span></em></strong></a></div>
<div style="text-align: left;"><span style="font-family: Arial, Helvetica, sans-serif;">Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Mkewe Tunu wakicheza ngoma ya Watemi wa Kisukuma baada kupewa heshima ya kuwa Mtemi Masanja na Mkewe kuwa Ngole kwenye uwanja wa michezo wa Maswa wakiwa katika ziara ya mkoa wa Shinyanga Februari 20, 2012. Kulia kwake ni Mtemi Majebele ambaye ndiye alimpa heshima hiyo.</span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;" href="http://2.bp.blogspot.com/-Ak6fToELkYI/T0SKypa8sAI/AAAAAAACF-8/2E5J44XV3SY/s1600/IMG_4687.JPG"><strong><em><span style="font-family: Arial, Helvetica, sans-serif;"><img src="http://2.bp.blogspot.com/-Ak6fToELkYI/T0SKypa8sAI/AAAAAAACF-8/2E5J44XV3SY/s640/IMG_4687.JPG" alt="" width="640" height="412" border="0" /></span></em></strong></a></div>
<div style="text-align: left;"><span style="font-family: Arial, Helvetica, sans-serif;">Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Mkewe Tunu wakicheza ngoma ya Watemi wa Kisukuma baada kupewa heshima ya kuwa Mtemi Masanja na Mkewe kuwa Ngole kwenye uwanja wa michezo wa Maswa wakiwa katika ziara ya mkoa wa Shinyanga Februari 20, 2012. Kushoto ni Mtemi Majebele ambaye ndiye alimpa heshima hiyo. </span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;" href="http://2.bp.blogspot.com/-Y68WXAGRFSs/T0SK3Tw-ehI/AAAAAAACF_E/COidxhWmjkY/s1600/IMG_4792.JPG"><strong><em><span style="font-family: Arial, Helvetica, sans-serif;"><img src="http://2.bp.blogspot.com/-Y68WXAGRFSs/T0SK3Tw-ehI/AAAAAAACF_E/COidxhWmjkY/s640/IMG_4792.JPG" alt="" width="640" height="420" border="0" /></span></em></strong></a></div>
<div style="text-align: left;"><span style="font-family: Arial, Helvetica, sans-serif;">Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akifungua tawi la Benki ya CRDB la Bariadi akiwa katika ziara ya mkoa wa Shinyanga Februari 21, 2012.</span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;" href="http://1.bp.blogspot.com/-mnVL0dxn1G0/T0SK59Zi0ZI/AAAAAAACF_M/4smsb6AUB9o/s1600/IMG_4797.JPG"><strong><em><span style="font-family: Arial, Helvetica, sans-serif;"><img src="http://1.bp.blogspot.com/-mnVL0dxn1G0/T0SK59Zi0ZI/AAAAAAACF_M/4smsb6AUB9o/s640/IMG_4797.JPG" alt="" width="640" height="466" border="0" /></span></em></strong></a></div>
<div style="text-align: left;"><span style="font-family: Arial, Helvetica, sans-serif;">Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikagua tawi la Benki ya CRDB nla Bariadi baada ya kulifungua Februari 21, 2012.. Alikuwa katika ziara ya mkoa wa Shinyanga.</span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;" href="http://3.bp.blogspot.com/-2-FZ6Lw2u8Q/T0SK8WPd7XI/AAAAAAACF_U/EtSUCeQ8LeE/s1600/IMG_4810.JPG"><strong><em><span style="font-family: Arial, Helvetica, sans-serif;"><img src="http://3.bp.blogspot.com/-2-FZ6Lw2u8Q/T0SK8WPd7XI/AAAAAAACF_U/EtSUCeQ8LeE/s640/IMG_4810.JPG" alt="" width="640" height="410" border="0" /></span></em></strong></a></div>
<div style="text-align: center;">
<p style="text-align: left;"><span style="font-family: Arial, Helvetica, sans-serif;">Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akipokea mfano wa hundi ya sh. 5,000,000/= kutoka kwa Mkurugenzi wa Masoko wa Benki ya CRDB, Tuli Mwambapa baada ya kufungua tawi la Benki hiyo la Bariadi Februari 21, 2012. Alikuwa katika ziara ya mkoa wa Shinyanga. (Picha na Ofisi ya Waiziri Mkuu)</span></p>
</div>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://www.startvtz.com/2012/02/22/waziri-mkuu-ziarani-mkoani-shinyanga/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>DKT BILAL AZINDUA DAHARIA LA SHULE YA SEKONDARI YA WASICHANA YA KORONGWE BEACH-WILAYA YA NKASI</title>
		<link>http://www.startvtz.com/2012/02/22/dkt-bilal-azindua-daharia-la-shule-ya-sekondari-ya-wasichana-ya-korongwe-beach-wilaya-ya-nkasi/</link>
		<comments>http://www.startvtz.com/2012/02/22/dkt-bilal-azindua-daharia-la-shule-ya-sekondari-ya-wasichana-ya-korongwe-beach-wilaya-ya-nkasi/#comments</comments>
		<pubDate>Wed, 22 Feb 2012 13:34:32 +0000</pubDate>
		<dc:creator>admin</dc:creator>
				<category><![CDATA[Habari katika Picha]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://www.startvtz.com/?p=1452</guid>
		<description><![CDATA[Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akikata utepe kuzindua rasmi jengo la Daharia la Shule ya Sekondari ya wasichana ya Korongwe Beach , iliyopo Wilaya ya Nkasi, wakati akiwa katika ziara yake ya Mkoa wa Rukwa na Katavi, jana Februari 21, 2012. Kulia kwake ni mkewe Mama Asha [...]]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<p><img src="http://1.bp.blogspot.com/-s-gEynIwaaA/T0SVi261R4I/AAAAAAACF_8/cygltEHoY5Q/s640/01+(2).jpg" alt="" width="640" height="424" border="0" /></p>
<div style="text-align: left;"><span style="font-family: Arial, Helvetica, sans-serif;">Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akikata utepe kuzindua rasmi jengo la Daharia la Shule ya Sekondari ya wasichana ya Korongwe Beach , iliyopo Wilaya ya Nkasi, wakati akiwa katika ziara yake ya Mkoa wa Rukwa na Katavi, jana Februari 21, 2012. Kulia kwake ni mkewe Mama Asha Bilal.</span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;" href="http://1.bp.blogspot.com/-d6E48KsxH2E/T0SVnE6HJeI/AAAAAAACGAI/Jl7I3rT5DFQ/s1600/01B.jpg"><strong><em><span style="font-family: Arial, Helvetica, sans-serif;"><img src="http://1.bp.blogspot.com/-d6E48KsxH2E/T0SVnE6HJeI/AAAAAAACGAI/Jl7I3rT5DFQ/s640/01B.jpg" alt="" width="640" height="424" border="0" /></span></em></strong></a></div>
<div style="text-align: left;"><span style="font-family: Arial, Helvetica, sans-serif;">Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiweka Jiwe la Msingi katika jengo la Daharia la Shule ya Sekondari ya wasichana ya Korongwe Beach , iliyopo Wilaya ya Nkasi, wakati akiwa katika ziara yake ya Mkoa wa Rukwa na Katavi, jana Februari 21, 2012. Kushoto kwake ni mkewe Mama Asha Bilal.</span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;" href="http://4.bp.blogspot.com/-5nH07ukmEBQ/T0SVwKjpghI/AAAAAAACGAU/4cz93lwdQ5E/s1600/02+(2).jpg"><strong><em><span style="font-family: Arial, Helvetica, sans-serif;"><img src="http://4.bp.blogspot.com/-5nH07ukmEBQ/T0SVwKjpghI/AAAAAAACGAU/4cz93lwdQ5E/s640/02+(2).jpg" alt="" width="640" height="428" border="0" /></span></em></strong></a></div>
<div style="text-align: left;"><span style="font-family: Arial, Helvetica, sans-serif;">Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akinawa maji ya Kisima cha kupampu yanayovunwa kwa mvua, kilichojengwa katika Kijiji cha Mwamapuli wakati alipokuwa katika ziara yake ya mkoa wa Rukwa na Katavi juzi.</span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;" href="http://4.bp.blogspot.com/-EiSgwlf-9Yw/T0SV0NXMANI/AAAAAAACGAc/3Nq3ItYBU60/s1600/05+(2).jpg"><strong><em><span style="font-family: Arial, Helvetica, sans-serif;"><img src="http://4.bp.blogspot.com/-EiSgwlf-9Yw/T0SV0NXMANI/AAAAAAACGAc/3Nq3ItYBU60/s640/05+(2).jpg" alt="" width="640" height="428" border="0" /></span></em></strong></a></div>
<div style="text-align: left;"><span style="font-family: Arial, Helvetica, sans-serif;">Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Mkazi wa Kijiji cha Mwamapuli, Yacoub Jilala, ambaye ni mlemavu, baada ya kumaliza kuwahutubia wananchi wa kijiji hicho, alipofika kuzindua jengo la Ghara la mazao, akiwa katika ziara yake ya mkoa wa Rukwa na Katavi, juzi Februari 20, 2012. </span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;" href="http://3.bp.blogspot.com/-PaKv666KKv8/T0SV3-XCm4I/AAAAAAACGAk/ZTNqccrn-Ps/s1600/3+(4).jpg"><strong><em><span style="font-family: Arial, Helvetica, sans-serif;"><img src="http://3.bp.blogspot.com/-PaKv666KKv8/T0SV3-XCm4I/AAAAAAACGAk/ZTNqccrn-Ps/s640/3+(4).jpg" alt="" width="640" height="424" border="0" /></span></em></strong></a></div>
<div style="text-align: left;"><span style="font-family: Arial, Helvetica, sans-serif;">Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akipanda Mti wa kumbukumbu nje ya jengo la Daharia la Shule ya Sekondari ya wasichana ya Korongwe Beach , iliyopo Wilaya ya Nkasi, baada ya kuzindua Daharia hilo wakati akiwa katika ziara yake ya Mkoa wa Rukwa na Katavi, jana Februari 21, 2012. Nyuma yake ni mkewe Mama Asha Bilal na Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Eng. Stella Manyanya.</span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;" href="http://3.bp.blogspot.com/-E3nTwDMY1UU/T0SV8yx-xYI/AAAAAAACGAs/1Q2j0IIyBKo/s1600/4+(4).jpg"><strong><em><span style="font-family: Arial, Helvetica, sans-serif;"><img src="http://3.bp.blogspot.com/-E3nTwDMY1UU/T0SV8yx-xYI/AAAAAAACGAs/1Q2j0IIyBKo/s640/4+(4).jpg" alt="" width="640" height="424" border="0" /></span></em></strong></a></div>
<div style="text-align: center;">
<p style="text-align: left;"><span style="font-family: Arial, Helvetica, sans-serif;">Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwasili kwenye Uwanja wa Korongwe kwa ajili ya kuwahutubia wananchi wakati akiwa katika ziara yake ya Mkoa wa Rukwa na Katavi jana Februari 21, 2012. Picha na Muhidin Sufiani-OMR.</span></p>
</div>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://www.startvtz.com/2012/02/22/dkt-bilal-azindua-daharia-la-shule-ya-sekondari-ya-wasichana-ya-korongwe-beach-wilaya-ya-nkasi/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>UZINDUZI WA MAULID KISIWA CHA TUMBATU ZANZIBAR</title>
		<link>http://www.startvtz.com/2012/02/22/uzinduzi-wa-maulid-kisiwa-cha-tumbatu-zanzibar/</link>
		<comments>http://www.startvtz.com/2012/02/22/uzinduzi-wa-maulid-kisiwa-cha-tumbatu-zanzibar/#comments</comments>
		<pubDate>Wed, 22 Feb 2012 13:30:44 +0000</pubDate>
		<dc:creator>admin</dc:creator>
				<category><![CDATA[Habari katika Picha]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://www.startvtz.com/?p=1448</guid>
		<description><![CDATA[Rais wa Zanzibar Dk, Ali Mohamed Shein akisalimiana na Masheikh na waheshimiwa mbalimbali alipohudhuria katika Kisiwa cha Tumbatu Zanzibar kwa ajili ya kuzindua Maulidi ya Kusherehekea kuzaliwa Mtume Muhammad (SAW). Rais wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein akielekea katika sehemu aliyotaharishiwa kwa ajili ya Uzinduzi wa Maulidi hiyo Kisiwa cha Tumbatu Zanzibar. Rais wa Zainzibar [...]]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<p><img src="http://1.bp.blogspot.com/-zw7pe0an00w/T0SdzihODXI/AAAAAAACGA0/VD2l944dDw8/s640/DSC_1359.jpg" alt="" width="640" height="428" border="0" /></p>
<div style="text-align: left;"><span style="font-family: Arial, Helvetica, sans-serif;">Rais wa Zanzibar Dk, Ali Mohamed Shein akisalimiana na Masheikh na waheshimiwa mbalimbali alipohudhuria katika Kisiwa cha Tumbatu Zanzibar kwa ajili ya kuzindua Maulidi ya Kusherehekea kuzaliwa Mtume Muhammad (SAW).</span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;" href="http://4.bp.blogspot.com/-hs1YcbjbRdg/T0Sd5as7zpI/AAAAAAACGA8/cvVwEujUXGA/s1600/DSC_1364.jpg"><strong><em><span style="font-family: Arial, Helvetica, sans-serif;"><img src="http://4.bp.blogspot.com/-hs1YcbjbRdg/T0Sd5as7zpI/AAAAAAACGA8/cvVwEujUXGA/s640/DSC_1364.jpg" alt="" width="640" height="428" border="0" /></span></em></strong></a></div>
<div style="text-align: left;"><span style="font-family: Arial, Helvetica, sans-serif;">Rais wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein akielekea katika sehemu aliyotaharishiwa kwa ajili ya Uzinduzi wa Maulidi hiyo Kisiwa cha Tumbatu Zanzibar.</span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;" href="http://4.bp.blogspot.com/-ajx_2ALRgd0/T0Sd9lWvDoI/AAAAAAACGBE/LhCH56JyF8c/s1600/DSC_1382.jpg"><strong><em><span style="font-family: Arial, Helvetica, sans-serif;"><img src="http://4.bp.blogspot.com/-ajx_2ALRgd0/T0Sd9lWvDoI/AAAAAAACGBE/LhCH56JyF8c/s640/DSC_1382.jpg" alt="" width="640" height="428" border="0" /></span></em></strong></a></div>
<div style="text-align: left;"><span style="font-family: Arial, Helvetica, sans-serif;">Rais wa Zainzibar Dk Ali Mohamed Shein (watatu kutoka kushoto) akiwa pamoja na Masheikh na Viongozi mbalimbali waliohudhuria Uzinduzi wa Maulid ya kusherekea kuzaliwa Mtume Muhammad (SAW) katika kisiwa cha Tumbatu Zanzibar.</span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;" href="http://4.bp.blogspot.com/-Kb7ahPT_vTA/T0SeDMACD-I/AAAAAAACGBM/SNmuqA2zNaI/s1600/DSC_1392.jpg"><strong><em><span style="font-family: Arial, Helvetica, sans-serif;"><img src="http://4.bp.blogspot.com/-Kb7ahPT_vTA/T0SeDMACD-I/AAAAAAACGBM/SNmuqA2zNaI/s640/DSC_1392.jpg" alt="" width="640" height="428" border="0" /></span></em></strong></a></div>
<div style="text-align: left;"><span style="font-family: Arial, Helvetica, sans-serif;">Uzinduzi wa Maulidi Huenda sambamba na kupandishwa Bendera ya Dini kama Ishara ya kusherehekea kuzaliwa Mtume Muhammad (SAW).</span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;" href="http://2.bp.blogspot.com/-cLpMoJllugU/T0SeLVQ1zrI/AAAAAAACGBc/AqPiTrAvHNw/s1600/DSC_1450.jpg"><strong><em><span style="font-family: Arial, Helvetica, sans-serif;"><img src="http://2.bp.blogspot.com/-cLpMoJllugU/T0SeLVQ1zrI/AAAAAAACGBc/AqPiTrAvHNw/s640/DSC_1450.jpg" alt="" width="640" height="428" border="0" /></span></em></strong></a></div>
<div style="text-align: left;"><span style="font-family: Arial, Helvetica, sans-serif;">Sheikh Othman Maalim akitoa mawaidha katika Uzinduzi wa Maulid ya kusherekea kuzaliwa Mtume Muhammad (SAW) katika kisiwa cha Tumbatu Zanzibar.</span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;" href="http://4.bp.blogspot.com/-3HCZaDBYAB4/T0SexiCYB0I/AAAAAAACGBs/UclYc49Huck/s1600/DSC_1482.jpg"><strong><em><span style="font-family: Arial, Helvetica, sans-serif;"><img src="http://4.bp.blogspot.com/-3HCZaDBYAB4/T0SexiCYB0I/AAAAAAACGBs/UclYc49Huck/s640/DSC_1482.jpg" alt="" width="640" height="428" border="0" /></span></em></strong></a></div>
<div style="text-align: center;">
<p style="text-align: left;"><span style="font-family: Arial, Helvetica, sans-serif;">Rais wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein akiwahutubia Waislamu na wananchi mbalimbali waliohudhuria katika Msikiti mkuu wa Tumbatu Zanzibar alipozinduwa Maulidi inayofanyika kila mwaka kisiwani humo.PICHA ZOTE NA YUSSUF SIMAI &#8211; MAELEZO ZANZIBAR.</span></p>
</div>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://www.startvtz.com/2012/02/22/uzinduzi-wa-maulid-kisiwa-cha-tumbatu-zanzibar/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>Gauck kuwa rais mpya wa Ujerumani</title>
		<link>http://www.startvtz.com/2012/02/21/gauck-kuwa-rais-mpya-wa-ujerumani/</link>
		<comments>http://www.startvtz.com/2012/02/21/gauck-kuwa-rais-mpya-wa-ujerumani/#comments</comments>
		<pubDate>Tue, 21 Feb 2012 06:15:59 +0000</pubDate>
		<dc:creator>admin</dc:creator>
				<category><![CDATA[Habari za Kimataifa]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://www.startvtz.com/?p=1443</guid>
		<description><![CDATA[Viongozi wa kisiasa nchini Ujerumani wamemchaguwa mwanaharakati wa haki za binadamu Joachim Gauck kuwa mgombea wao wa pamoja wa wadhifa wa Urais ambao ni wa heshima nchini Ujerumani. Kansela Angela Merkel amesifu kujizatiti kwa Gauck katika maadili ya uhuru na uwajibikaji. Gauck mwenye umri wa miaka 72 amesema lengo lake kuu katika wadhifa huo wa [...]]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<div>
<p>Viongozi wa kisiasa nchini Ujerumani wamemchaguwa mwanaharakati wa haki za binadamu Joachim Gauck kuwa mgombea wao wa pamoja wa wadhifa wa Urais ambao ni wa heshima nchini Ujerumani.</p>
<p>Kansela Angela Merkel amesifu kujizatiti kwa Gauck katika maadili ya uhuru na uwajibikaji.</p>
<p>Gauck mwenye umri wa miaka 72 amesema lengo lake kuu katika wadhifa huo wa urais litakuwa ni kuwashajiisha wale waliokuwa wako  tayari kuwajibika katika jamii.</p>
<p>Alikuwa mgombea wa upinzani wa chama cha Social Demokrat na chama cha Kijani katika wadhifa huo wa urais hapo mwezi wa Oktoba mwaka 2011 sanjari na rais aliyejiuzulu hivi karibuni Christian Wulff.</p>
<p>Wulff alijiuzulu hapo Ijumaa baada ya kuandamwa na madai ya rushwa.</p>
<p>Gauck atapaswa kuthibitishwa kushika wadhifa huo na bunge la mabaraza ya majimbo katika kipindi cha wiki chache zijazo.  </p>
<p>DW</p>
</div>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://www.startvtz.com/2012/02/21/gauck-kuwa-rais-mpya-wa-ujerumani/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>Leo ni siku ya uchaguzi wa urais nchini Yemen.</title>
		<link>http://www.startvtz.com/2012/02/21/leo-ni-siku-ya-uchaguzi-wa-urais-nchini-yemen/</link>
		<comments>http://www.startvtz.com/2012/02/21/leo-ni-siku-ya-uchaguzi-wa-urais-nchini-yemen/#comments</comments>
		<pubDate>Tue, 21 Feb 2012 06:11:18 +0000</pubDate>
		<dc:creator>admin</dc:creator>
				<category><![CDATA[Habari za Kimataifa]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://www.startvtz.com/?p=1439</guid>
		<description><![CDATA[Raia wa Yemen wanaamkia katika vituo vya kupigia kura kumchagua rais wao mpya, leo Jumanne. Wafuasi wa Abd Mansour Hadi katika kampeni Lakini kila mtu anajua kuwa atakayeshinda ni makamu wa Rais Abd Rabbu Mansour Hadi. Yeye ni mgombea wa pekee. Hana mpinzani. Uchaguzi huo unafanyika baada ya mwaka mmoja wa ghasia na maandamano ya [...]]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<div>
<p>Raia wa Yemen wanaamkia katika vituo vya kupigia kura kumchagua rais wao mpya, leo Jumanne.</p>
<div>
<div><img src="http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2012/02/20/120220121743_people_carry_posters_of_yemens_vice_president_abd_rabbu_mansour_hadi__304x171_reuters_nocredit.jpg" alt="" width="304" height="171" />Wafuasi wa Abd Mansour Hadi katika kampeni</p>
</div>
</div>
<p>Lakini kila mtu anajua kuwa atakayeshinda ni makamu wa Rais Abd Rabbu Mansour Hadi.</p>
<p>Yeye ni mgombea wa pekee. Hana mpinzani.</p>
<p>Uchaguzi huo unafanyika baada ya mwaka mmoja wa ghasia na maandamano ya kupinga utawala wa Rais Ali Abdullah Saleh.</p>
<p>Kampeni zimekuwa zikiendelea kumuunga mkono makamu wa rais Abd Rabbu Mansour Hadi.</p>
<p>Mshindi wa tuzo ya Nobel raia wa Yemen Bi Tawwakol Karman amewataka raia wote wa Yemen kujitokeza kumuunga mkono Makamu huyo wa Rais, Bwana Hadi.</p>
<p>“Tunawaumba watu wote wa Yemeni wakiwemo vijana wajitokeze hii leo tarehe 21 Februari, sio kuunga mkono uchaguzi peke yake, bali kumuunga mkono Masour Hadi kuwa Rais wa mpito katika kipindi hiki cha mpito”,Bi Karman amesema.</p>
<p>Huku Mshindi huyo wa Tuzo ya Nobel akimpigia debe Bwana Mansour Hadi ghasia zimeanza upya nchini Yemen.</p>
<p>Pia kumeripotiwa mfululizo wa milipuko na mashambulio katika vituo vya kupigia kura na sehemu nyingine.BBC</p>
</div>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://www.startvtz.com/2012/02/21/leo-ni-siku-ya-uchaguzi-wa-urais-nchini-yemen/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>Jeshi la Nigeria lawauwa Boko Haram.</title>
		<link>http://www.startvtz.com/2012/02/21/jeshi-la-nigeria-lawauwa-boko-haram/</link>
		<comments>http://www.startvtz.com/2012/02/21/jeshi-la-nigeria-lawauwa-boko-haram/#comments</comments>
		<pubDate>Tue, 21 Feb 2012 06:07:45 +0000</pubDate>
		<dc:creator>admin</dc:creator>
				<category><![CDATA[Habari za Kimataifa]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://www.startvtz.com/?p=1434</guid>
		<description><![CDATA[Msemaji wa jeshi la Nigeria amesema kwamba wanajeshi watatu walijeruhiwa katika makabiliano hayo ya risasi na kundi la Boko Haram. Walinda usalama katika mji wa Maiduguri.  Hata hivyo alikanusha kuwa kuna raia yeyote aliyeuwawa katika kisa hicho. Lakini wenye maduka katika soko la Baga wamenukuliwa wakisema kuwa wameona maiti zipatazo ishirini hivi zikipakiwa kwenye lori. [...]]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<div>
<p>Msemaji wa jeshi la Nigeria amesema kwamba wanajeshi watatu walijeruhiwa katika</p>
<p>makabiliano hayo ya risasi na kundi la Boko Haram.</p>
<div>
<div><img src="http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2011/07/13/110713004049_maiduguri_304x171_bbc_nocredit.jpg" alt="" width="304" height="171" />Walinda usalama katika mji wa Maiduguri. </p>
</div>
</div>
<p>Hata hivyo alikanusha kuwa kuna raia yeyote aliyeuwawa katika kisa hicho.</p>
<p>Lakini wenye maduka katika soko la Baga wamenukuliwa wakisema kuwa wameona maiti zipatazo ishirini hivi zikipakiwa kwenye lori.</p>
<p>Eneo hilo la Maiduguri ni ngombe kuu ya wapiganiaji wa Boko Haram . Na katika miaka ya hivi karibuni sehemu imeshuhudia milipuko kadhaa na ufyatuliananji wa risasi.</p>
<p>Tayari serikali ya rais Goodluck Jonathan imetangaza hali ya hatari katika mji huyo na miji menginea ambayo imeshuhudia mashambulizi toka kwa kundi hilo la Boko Haram.</p>
<p>Lakini wakazi wa miji hiyo wanasema kuwa suluhu ya kijeshi haijafaulu leta mafanikio yeyote</p>
<p>BBC</p>
</div>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://www.startvtz.com/2012/02/21/jeshi-la-nigeria-lawauwa-boko-haram/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>Mgogoro CUF, Wananchi waendelea kujivua uanachama</title>
		<link>http://www.startvtz.com/2012/02/20/mgogoro-cuf-wananchi-waendelea-kujivua-uanachama/</link>
		<comments>http://www.startvtz.com/2012/02/20/mgogoro-cuf-wananchi-waendelea-kujivua-uanachama/#comments</comments>
		<pubDate>Mon, 20 Feb 2012 06:47:16 +0000</pubDate>
		<dc:creator>admin</dc:creator>
				<category><![CDATA[Habari Kitaifa]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://www.startvtz.com/?p=1428</guid>
		<description><![CDATA[Na Beatrice Ojjiki, Dar es Salaam.                               Chama cha wananchi CUF kimeendelea kupoteza wanachama wake baada ya baadhi ya viongozi wa baraza kuu la taifa kutangaza kujivua uanachama wa chama hicho. &#160; Viongozi hao ni Abubakari Rakesh aliyekuwa mjumbe baraza kuu Taifa, Juma Killaghai aliyekuwa mjumbe wa baraza kuu la uongozi na Omar Constantino aliyekuwa mkurugenzi [...]]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<p>Na Beatrice Ojjiki,</p>
<p>Dar es Salaam.                              </p>
<p>Chama cha wananchi CUF kimeendelea kupoteza wanachama wake baada ya baadhi ya viongozi wa baraza kuu la taifa kutangaza kujivua uanachama wa chama hicho.</p>
<p>&nbsp;</p>
<p>Viongozi hao ni Abubakari Rakesh aliyekuwa mjumbe baraza kuu Taifa, Juma Killaghai aliyekuwa mjumbe wa baraza kuu la uongozi na Omar Constantino aliyekuwa mkurugenzi sekretariet ya vijana Taifa.</p>
<p>&nbsp;</p>
<p>Walisema kuwa hatua hiyo imefikiwa na sababu mbalimbali za mustakabali wa chama hicho ikiwamo ya CUF kupoteza dira na muelekeo, suala la usultani unaoendeshwa katika chama hicho na kitendo chake cha kufukuza wanachama wapambanaji wa chama hicho.</p>
<p>Viongozi hao wa baraza kuu la Taifa wanasema kuwa CUF kina dira ya kufanya kazi kama taasisi na sio kibinafsi hasa katika mgawanyo wa fedha katika chama lakini kitendo cha kutokuwa na mgawanyo huo katika ofisi zake za wilaya kuziwezesha kujitegemea ni suala lisilokuwa na ufanyaji kazikamataasisi.</p>
<p>&nbsp;</p>
<p>Viongozi hao pia walilalamikia suala la ubaguzi lililopo ndani ya chama hicho kwa kuhusisha vitendo hivyo hatua inayoelezwa kusababisha kukosa kura kwa chama hicho katika jimbo la uzini.</p>
<p>Migogoro katika chama cha wanananchi CUF imeendelea kutokea  kupinga maamuzi ya baraza kuu la Taifa la chama hicho kuwavua uanachama aliyekuwa mbunge wa jimbo la wawi Hamad Rashid na wenzake Doyo hassan Doyo na Hamis Kishoka.</p>
<p>MWISHO</p>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://www.startvtz.com/2012/02/20/mgogoro-cuf-wananchi-waendelea-kujivua-uanachama/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>Zaidi ya magari 200 yakwama mpakani Holili</title>
		<link>http://www.startvtz.com/2012/02/20/zaidi-ya-magari-200-yakwama-mpakani-holili/</link>
		<comments>http://www.startvtz.com/2012/02/20/zaidi-ya-magari-200-yakwama-mpakani-holili/#comments</comments>
		<pubDate>Mon, 20 Feb 2012 06:42:36 +0000</pubDate>
		<dc:creator>admin</dc:creator>
				<category><![CDATA[Habari za Biashara na Uchumi]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://www.startvtz.com/?p=1424</guid>
		<description><![CDATA[Na Enos Masanja, Moshi.  Zaidi ya magari 200 yanayosafirisha mzigo kupitia mpaka wa Holili juzi yamekwama kwa zaidi ya masaa tisa baada ya mpaka waTanzanianaKenyakufungwa kwa muda. &#160; Kufungwa kwa mpaka huo na wananchi kulikoshuhudiwa na mamlaka za kisheria baina ya nchi hizo mbili kulifuatia hatua ya serikali yaTanzaniakutoza kiasi cha dola mia mbili kwa [...]]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<p>Na Enos Masanja,</p>
<p>Moshi. </p>
<p>Zaidi ya magari 200 yanayosafirisha mzigo kupitia mpaka wa Holili juzi yamekwama kwa zaidi ya masaa tisa baada ya mpaka waTanzanianaKenyakufungwa kwa muda.</p>
<p>&nbsp;</p>
<p>Kufungwa kwa mpaka huo na wananchi kulikoshuhudiwa na mamlaka za kisheria baina ya nchi hizo mbili kulifuatia hatua ya serikali yaTanzaniakutoza kiasi cha dola mia mbili kwa kila mfanyabaishara anayeingia nchini na kufanya biashara zake katika masoko ya mpakani.</p>
<p>&nbsp;</p>
<p>Star tv ilifika katika enohilona kushuhudia msururu mkubwa wa magari ukiwa katika eneo mpaka huku baadhi ya raia wa nchiniKenyawakisema walilazimika kufunga mpaka huo kwa madai ya kuchoshwa na mabadiliko ya sheria ya mara kwa mara.</p>
<p>&nbsp;</p>
<p>Hali hii iliathiri pia mamlaka ya mapato nchini TRA ambapo kaimu afisa wa TRA katika kiutuo cha Holili Bwana Jihadhari Mbegu alikiri kuchelewa kwa upakiai na upakuaji wa mizigo.</p>
<p>&nbsp;</p>
<p>Mkuu wa wilaya Bwana Peter Toima ambaye alilazimika kufika katika eneohiloalisema sheria iko wazi juu ya ushuru wa dola mia mbili na kuwataka wafanyabishara kutokaKenyakuheshimu sheria husika.</p>
<p>&nbsp;</p>
<p>Safari za magari hayo zilirejea katika hali ya kawaida baadaye majira ya saa tisa unusu hivi baada ya wakuu wa idara za uhamiaji zaKenyanaTanzaniakujadiliana kwa muda na kufikiana muafaka.</p>
<p>&nbsp;</p>
<p>Mwisho.</p>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://www.startvtz.com/2012/02/20/zaidi-ya-magari-200-yakwama-mpakani-holili/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>Zana za uchimbaji,  Wachimbaji Wadogo kunufaika kanda ya kati.</title>
		<link>http://www.startvtz.com/2012/02/20/zana-za-uchimbaji-wachimbaji-wadogo-kunufaika-kanda-ya-kati/</link>
		<comments>http://www.startvtz.com/2012/02/20/zana-za-uchimbaji-wachimbaji-wadogo-kunufaika-kanda-ya-kati/#comments</comments>
		<pubDate>Mon, 20 Feb 2012 06:39:37 +0000</pubDate>
		<dc:creator>admin</dc:creator>
				<category><![CDATA[Habari za Biashara na Uchumi]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://www.startvtz.com/?p=1421</guid>
		<description><![CDATA[Na Emmanuel Michael, Singida.  Wachimbaji wadogo wa madini ya aina mbalimbali kanda ya kati wanatarajiwa kuondokana na matumizi ya zana duni katika migodi yao baada ya kufunguliwa  kwa kituo cha  kukodisha, kukopesha na kuuza vifaa vya kisasa  kwa ajili ya kufanyia  shughuli hiyo. Kituo  hicho kilichoanzishwa na Kampuni ya  Tan Discovery  baada ya kupata mkopo [...]]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<p>Na Emmanuel Michael,</p>
<p>Singida.<strong> </strong></p>
<p>Wachimbaji wadogo wa madini ya aina mbalimbali kanda ya kati wanatarajiwa kuondokana na matumizi ya zana duni katika migodi yao baada ya kufunguliwa  kwa kituo cha  kukodisha, kukopesha na kuuza vifaa vya kisasa  kwa ajili ya kufanyia  shughuli hiyo.</p>
<p>Kituo  hicho kilichoanzishwa na Kampuni ya  Tan Discovery  baada ya kupata mkopo wa shilingi  milioni 200 kutoka  Serikalini kimefunguliwa na  waziri wa nishati na madini mheshimiwa William Ngeleja, lengo likiwa kuwawezesha wachimbaji wadogo kunufaika na raslimali yao.</p>
<p> <strong> S</strong>hughuli za uchimbaji ni madini sekta ambayo inatajwa kuchangia zaidi ya asilimia tatu ya pato la taifa.</p>
<p>Licha ya mchango wake  kwa pato la taifa  pamoja na kutoa ajira kwa wengi, sekta hii inaelezwa  kuwanufaisha zaidi wawekezaji wakubwa kutokana na  wachimbaji wadogo  kutokuwa na zana za kisasa kwa ajili  kuwasaidia kuwawezesha kuendesha  shughuli zao kwa tija.</p>
<p>Hata hivyo katika hafla ya ufunguzi wa kituo  cha kukodisha, kukopesha na kuuza zana za uchimbaji  kilichopo eneo la Londoni mkoani Singida, waziri wa nishati  na madini mhe William Ngeleja anasema serikali  inatambua umuhimu wa sekta hiyo kwa ukuaji wa uchumi.</p>
<p>Waziri Ngeleja alisema sababu hiyo ndiyo iliyoifanya serikali kutoa mkopo kwa kampuni  ya Tan Discover kwa ajili ya kuanzisha kituo hicho  cha  vifaa vya kisasa kwa wachimbaji wadogo.</p>
<p><strong>  </strong></p>
<p>Mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya Tan-Discovery  bw  Rogers Sezinga  alisema pamoja mambo mengine kufunguliwa kwa kituo hicho kutapunguza  tatizo la uvamizi wa migodi.</p>
<p>&nbsp;</p>
<p>Hata hivyo baadhi ya wachimbaji wadogo pamoja na kushukuru kwa kuanzishwa kwa kituo hicho wanasema bado kuna changamoto nyingine zinazowakabili katika kuboresha shughuli zao.</p>
<p>&nbsp;</p>
<p>Tatizo la zana duni, kutimuliwa  kwenye maeneo na wawekezaji wakumbwa na ukosefu wa elimu  ni baadhi ya  mambo yanatajwa kuwa kikwazo kwa wachimbaji wadogo wa madini nchini.</p>
<p>&nbsp;</p>
<p>MWISHO</p>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://www.startvtz.com/2012/02/20/zana-za-uchimbaji-wachimbaji-wadogo-kunufaika-kanda-ya-kati/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
	</channel>
</rss>

