Mbona signal yenu ipo chini sana huku CHINA? mwanzoni mwa mwezi wa tano nilikua nawapata japo kwa shida, lakini sasa hakuna kitu kabisaa,tatizo ni nini? tujuzeni basi watizimaji wenu wa huku nnje ya nnchi! huwa tunajisikia faraja sana tunaposikia Lugha ya nyumbani.Akhsante sana kwa uelewa.
Mimi ni mfuatiliaji mzuri wa vipindi mnavyoviandaa hususani kipindi cha Dira ya Dunia na Salim Kikeke nawapata vizuri kutokea nchini China,BIG UP STARTV from Tanzania.
kwa maoni yangu star tv vipindi vyenu ni vizuri hasa kwa upande wangu naweza sema kwenye upande wa michemzo mkomakini kuakikisha watanzania wanapata habari kwa ukaribu zaidi.ila star tv daima.
Dear Startv,
Am very much interested in wacthing Startv but an able to access it because i have lost the frequence.Am in Zambia and i would like to be watching it.What should i do?
Interesting blog! Is your theme custom made or
did you download it from somewhere? A design like yours with a few
simple adjustements would really make my
blog shine. Please let me know where you got your design.
With thanks
Asante wewe mtazamaji unayeendelea kutuunga mkono, frequency zetu ni 3884MHZ, SR 4.900MS/s FEC 1/2 na Pol. H, matangazo ya Digitali yatakapokuwa tayari mtatarifiwa hii ni pamoja na namna ya kuvipata ving’amuzi. Kuzima matangazo ya mfumo wa Analogia ni pale itakapofika Desemba mwaka huu kwa mujibu wa tamko la Serikali na kama kuna mabadiliko yoyote serikali ndiyo itatoa tamko.
Siku hizi startv signal ipo chini kwa wale wanaotumia receiver za strong,gulf star ndiyo zinazo jitahidi kushika kwa walet watumiao receiver za aina nyingine zinagoma kabisa kuliko mwaka jana signal ipo chini sana
jaman mi sijui ni kwangu tuuuu mbona signal siiipat kabisaaaaaaaaa
Mbona signal yenu ipo chini sana huku CHINA? mwanzoni mwa mwezi wa tano nilikua nawapata japo kwa shida, lakini sasa hakuna kitu kabisaa,tatizo ni nini? tujuzeni basi watizimaji wenu wa huku nnje ya nnchi! huwa tunajisikia faraja sana tunaposikia Lugha ya nyumbani.Akhsante sana kwa uelewa.
mbona sasa siwapati tena tatizo ni nini? Evance
Mimi ni mfuatiliaji mzuri wa vipindi mnavyoviandaa hususani kipindi cha Dira ya Dunia na Salim Kikeke nawapata vizuri kutokea nchini China,BIG UP STARTV from Tanzania.
kwa maoni yangu star tv vipindi vyenu ni vizuri hasa kwa upande wangu naweza sema kwenye upande wa michemzo mkomakini kuakikisha watanzania wanapata habari kwa ukaribu zaidi.ila star tv daima.
Star tv mm ni mtazamaji na mwakilishi halali wa star tv PBA napenda kuuliza na naomba jibu pia kwann siwapati tena ktk star tv live?
Signal yenu ipo chini sana,huku kwetu kasulu,tusadieni
STAR TV HI SANA
Naomba nisaidie kujua vitu hivi Mission,vision na motto ya media house yenu (SMG) for the purpose of learning please
tunawashukuru STAR TV saizi tunawapata vizuri kwa wale tutumiao satelite dish, signal imeongezeka kwa asilimia kubwa thanx alot
Star tv mnatisha na nivizuri sasa mpo kwenye ving’amuzi kwani star tv pekee iki miss kwenye king’amuzi ,hicho king’amuzi kinaboa so BIG UP
ninawakubali kw kupasua mawimbi
Pole sana Leonard, Mafundi wa StarTV wanalifanyia kazi suala la signal ulilolieleza.
nitashukuru endapo litafanyiwa kazi
Dear Startv,
Am very much interested in wacthing Startv but an able to access it because i have lost the frequence.Am in Zambia and i would like to be watching it.What should i do?
Best regards to members of Startv Africa,
Julius.
Interesting blog! Is your theme custom made or
did you download it from somewhere? A design like yours with a few
simple adjustements would really make my
blog shine. Please let me know where you got your design.
With thanks
This is a topic which is near to my heart… Take care!
Where are your contact details though?
naipenda star tv.jamen apa nataftia mis tz so waooo!…
Wow, I loѵe youг writing style. It’s original in comparison to a large number of other bloggers that blog on the internet.
Asante wewe mtazamaji unayeendelea kutuunga mkono, frequency zetu ni 3884MHZ, SR 4.900MS/s FEC 1/2 na Pol. H, matangazo ya Digitali yatakapokuwa tayari mtatarifiwa hii ni pamoja na namna ya kuvipata ving’amuzi. Kuzima matangazo ya mfumo wa Analogia ni pale itakapofika Desemba mwaka huu kwa mujibu wa tamko la Serikali na kama kuna mabadiliko yoyote serikali ndiyo itatoa tamko.
Siku hizi startv signal ipo chini kwa wale wanaotumia receiver za strong,gulf star ndiyo zinazo jitahidi kushika kwa walet watumiao receiver za aina nyingine zinagoma kabisa kuliko mwaka jana signal ipo chini sana