Home     I    About Us     I     Contact Us    I      Startv Crew    I     Schedule     I     Coverage     I     Login
Copyright  @  STAR TV LTD . All Rights Reserved.
Mhe Chilolo ametetea vema nafasi yake kwa  kuwa wa kwanza  baada ya kuwashinda  wenzake 14 kwa kupata 266 sawa na asilimia 84 ya kura zote 315  halali  zilizopigwa akifuatiwa na Mlata aliyepata kura 183.

Msimamizi wa uchaguzi huo mkuu wa mkoa wa Singida Dk.Parseko Kone amesema wagombea  wengine  ni Dk Grace Puja  aliyeshika nafasi ya tatu kwa  kura 177, Aisha Matembe  wanne kwa  kura 166 na Josephine Msweti  wa tano kwa  kupata jumla ya  kura 121.
Bongo Beats every Monday to Saturday @ 1900hrs
Bonga na Startv every  Monday to Saturday @ 1705hrs
Habari every  Monday to Sunday @ 2000hrs
Home                                            About Us                                                    Contact Us                                                Startv Crew                                           Login
Leo::
Startv Menu